JS Kabylie vs Yanga SC CAF Champions League kituo kinachofuata


JS Kabylie vs Yanga SC CAF Champions League kituo kinachofuata kwenye raundi ya pili kwa wawakilishi wa Tanzania katika anga la kimataifa.


Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Pedro Goncalves ilipata ushindi kwenye mchezo wa kwanza nyumbani dhidi ya AS FAR Rabat ya Morocco. Mchezo ujao utakuwa wa kwanza kwa timu hiyo kuwa ugenini.

Ratiba ya mechi zote raundi ya pili hii hapa:-

 Novemba 28,2025

JS Kabylie vs Yanga SC

Rivers United vs RSB Berkane

AS FAR RABAT vs Al Ahly

MC Alger vs Mamelodi Sundowns

Novemba 29,2025
Petro de Luanda vs Esperance
Power Dynamos vs Pyramids

Novemba 30,2025
St Eloi Lupopo vs Al Hilal Omdurman

Stade Malien vs Simba SC

0/Post a Comment/Comments