NSINGIZINI Hotspurs vs Simba SC ni mchezo wa CAF Champions League unaotarajiwa kuchezwa Oktoba 19 2025 huku timu zote zikiwa na vikosi vikubwa.
Kikosi cha Simba SC kutoka Tanzania kinachofundishwa na Meneja Mkuu, Dimitar Pantev tayari kimewasili Eswatini kwa maandalizi ya mwisho ya mchezo huo.
Hapa tunakusogezea kikosi cha Simba SC ambacho kinaweza kuanza kwenye mchezo huo na kikosi rasmi tutakupa saa moja kabla ya mchezo:-Mlinda mlango
Yakoub Suleiman
Mabeki
Shomari Kapombe
De Reuck
Anthony Mligo
Chamou
Viungo
Elie Mpanzu
Yusuph Kagoma
Mzamiru Yassin
Morice Abraham
Joshua Mutale
Washambuliaji
Steven Mukwala
Mchezo huu ni hatua ya kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika unatarajiwa kuchezwa Jumapili saa 10:00 jioni kwa saa za Afrika Mashariki.

Post a Comment